Skip to content
Zaburi 31:23-24

Zaburi 31:23-24

23
Mpendeni Bwana ninyi watakatifu wake wote! Bwana huwahifadhi waaminifu, lakini wenye kiburi huwalipiza kikamilifu.
24
Kuweni hodari na mjipe moyo, ninyi nyote mnaomtumaini Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options