Skip to content
Zaburi 32:1-2

Zaburi 32:1-2

1
Zaburi ya Daudi. Funzo. Heri mtu yule ambaye amesamehewa makosa yake, ambaye dhambi zake zimefunikwa.
2
Heri mtu yule ambaye Bwana hamhesabii dhambi, na ambaye rohoni mwake hamna udanganyifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options