Rukia maudhui
Zaburi 30:1-5

Kumsifu Mungu kwa Kutuokoa na Kifo

Zaburi 30:1-5
1
Utenzi wa kuweka wakfu hekalu. Zaburi ya Daudi. Nitakutukuza wewe, Ee Bwana, kwa kuwa umeniinua kutoka vilindi, na hukuacha adui zangu washangilie juu yangu.
2
Ee Bwana, Mungu wangu, nilikuita unisaidie na wewe umeniponya.
3
Ee Bwana, umenitoa Kuzimu, umeniokoa nisishuke kwenye shimo la mauti.
4
Mwimbieni Bwana, enyi watakatifu wake; lisifuni jina lake takatifu.
5
Kwa maana hasira yake ni ya muda mfupi, bali upendo wake hudumu siku zote. Inawezekana kilio kiwepo usiku kucha, lakini asubuhi kukawa na furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options