ഉള്ളടക്കത്തിലേക്ക് പോകുക
Zaburi 26:6-7

Zaburi 26:6-7

6
Ninanawa mikono yangu kwa kuwa sina hatia, naikaribia madhabahu yako, Ee Bwana,
7
nikitangaza sifa yako kwa sauti kubwa, huku nikisimulia matendo yako ya ajabu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options