Zaburi 22:6-8
6
Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
7
Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8
Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”