Skip to content
Zaburi 22:6-8

Zaburi 22:6-8

6
Mimi ni mnyoo wala si mwanadamu, wanaume wamenibeza, na watu wamenidharau.
7
Wote wanionao hunidhihaki, hunivurumishia matusi, wakitikisa vichwa vyao:
8
Husema, “Anamtegemea Bwana, basi Bwana na amwokoe. Amkomboe basi, kwa maana anapendezwa naye.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options