Skip to content
Zaburi 22:4-5

Zaburi 22:4-5

4
Kwako wewe baba zetu waliweka tumaini lao, walikutumaini nawe ukawaokoa.
5
Walikulilia wewe na ukawaokoa, walikutegemea wewe nao hawakuaibika.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options