Zaburi 21:13
Inaonyesha mstari 13 pamoja na muktadha unaouzunguka.
10
Utawaangamiza wazao wao kutoka duniani, uzao wao kutoka wanadamu.
11
Ingawa watapanga mabaya dhidi yako na kutunga hila, hawawezi kufanikiwa,
12
kwa kuwa utawafanya wakimbie utakapowalenga usoni pao kwa mshale kutoka kwenye upinde wako.
13
Ee Bwana, utukuzwe katika nguvu zako, tutaimba na kusifu nguvu zako.
Settings