Skip to content
Zaburi 2:2-4

Zaburi 2:2-4

2
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
3
Wanasema, “Tuvunje minyororo yao na kuvitupilia mbali vifungo vyao.”
4
Yeye atawalaye mbinguni hucheka, Bwana huwadharau.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options