Skip to content
Zaburi 2:10-11

Zaburi 2:10-11

10
Kwa hiyo, ninyi wafalme, kuweni na hekima; mwonyeke, enyi watawala wa dunia.
11
Mtumikieni Bwana kwa hofu na mshangilie kwa kutetemeka.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options