Skip to content
Zaburi 2:1-2

Zaburi 2:1-2

1
Kwa nini mataifa wanashauriana kufanya mabaya, na kabila za watu kula njama bure?
2
Wafalme wa dunia wanajipanga na watawala wanajikusanya pamoja dhidi ya Bwana na dhidi ya Mpakwa Mafuta wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options