Skip to content
Zaburi 16:7-8

Zaburi 16:7-8

7
Nitamsifu Bwana ambaye hunishauri, hata wakati wa usiku moyo wangu hunifundisha.
8
Nimemweka Bwana mbele yangu daima. Kwa sababu yuko mkono wangu wa kuume, sitatikisika.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options