Skip to content
Zaburi 16:5-6

Zaburi 16:5-6

5
Bwana umeniwekea fungu langu na kikombe changu; umeyafanya mambo yangu yote yawe salama.
6
Alama za mipaka zimeniangukia mahali pazuri, hakika nimepata urithi mzuri.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options