Zaburi 150:3-6
3
Msifuni kwa mvumo wa tarumbeta, msifuni kwa kinubi na zeze,
4
msifuni kwa matari na kucheza, msifuni kwa kinanda cha nyuzi na filimbi,
5
msifuni kwa matoazi yaliayo, msifuni kwa matoazi yavumayo sana.
6
Kila chenye pumzi na kimsifu Bwana. Msifuni Bwana!