Skip to content
Zaburi 150:1-2

Mahali na Sababu ya Kumsifu Mungu

Zaburi 150:1-2
1
Msifuni Bwana. Msifuni Mungu katika patakatifu pake, msifuni katika mbingu zake kuu.
2
Msifuni kwa matendo yake makuu, msifuni kwa kadiri ya wingi wa ukuu wake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options