Skip to content
Zaburi 149:7-9

Zaburi 149:7-9

7
ili walipize mataifa kisasi na adhabu juu ya mataifa,
8
wawafunge wafalme wao kwa minyororo, wakuu wao kwa pingu za chuma,
9
ili kuwafanyia hukumu iliyoandikwa dhidi yao. Huu ndio utukufu wa watakatifu wake wote. Msifuni Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options