Rukia maudhui
Zaburi 148:11-13

Wito kwa Wanadamu Wote

Zaburi 148:11-13
11
wafalme wa dunia na mataifa yote, ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,
12
wanaume vijana na wanawali, wazee na watoto.
13
Wote na walisifu jina la Bwana, kwa maana jina lake pekee limetukuka, utukufu wake uko juu ya nchi na mbingu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options