Zaburi 148:1-4
1
Msifuni Bwana. Msifuni Bwana kutoka mbinguni, msifuni juu vileleni.
2
Msifuni, enyi malaika wake wote, msifuni yeye, enyi jeshi lake lote la mbinguni.
3
Msifuni yeye, enyi jua na mwezi, msifuni yeye, enyi nyota zote zingʼaazo.
4
Msifuni yeye, enyi mbingu zilizo juu sana, na ninyi maji juu ya anga.
Settings