Rukia maudhui
Zaburi 147:7-11

Sifa kwa Mungu kwa Utoaji Wake Katika Asili

Zaburi 147:7-11
7
Mwimbieni Bwana kwa shukrani, mpigieni Mungu wetu kinubi.
8
Yeye huzifunika anga kwa mawingu, huinyeshea ardhi mvua, na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.
9
Huwapa chakula mifugo na pia makinda ya kunguru yanapolia.
10
Furaha yake haipo katika nguvu za farasi, wala furaha yake kwenye miguu ya mwanadamu.
11
Bwana hupendezwa na wale wamchao, wale wanaoweka tumaini lao katika upendo wake usiokoma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options