Zaburi 145:4-6
4
Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine, watasimulia matendo yako makuu.
5
Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako, nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.
6
Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha, nami nitatangaza matendo yako makuu.