Skip to content
Zaburi 145:3-6

Zaburi 145:3-6

3
Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, ukuu wake haupimiki.
4
Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine, watasimulia matendo yako makuu.
5
Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako, nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.
6
Watasimulia uwezo wa kazi zako za kutisha, nami nitatangaza matendo yako makuu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options