דלג לתוכן
Zaburi 145:1-3

Nadhiri ya Sifa za Milele

Zaburi 145:1-3
1
Wimbo wa Sifa. Wa Daudi. Nitakutukuza wewe, Mungu wangu Mfalme, nitalisifu jina lako milele na milele.
2
Kila siku nitakusifu na kulitukuza jina lako milele na milele.
3
Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, ukuu wake haupimiki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options