Skip to content
Zaburi 145:3-5

Zaburi 145:3-5

3
Bwana ni mkuu, anayestahili kusifiwa sana, ukuu wake haupimiki.
4
Kizazi kimoja kitasifia kazi zako kwa kizazi kingine, watasimulia matendo yako makuu.
5
Watasema juu ya utukufu wa fahari ya ukuu wako, nami nitatafakari juu ya kazi zako za ajabu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options