Zaburi 145:11-13
11
Watasimulia utukufu wa ufalme wako na kusema juu ya ukuu wako,
12
ili watu wote wajue matendo yako makuu na utukufu wa fahari ya ufalme wako.
13
Ufalme wako ni ufalme wa milele, mamlaka yako hudumu vizazi vyote. Bwana ni mwaminifu kwa ahadi zake zote na mwenye upendo kwa vyote alivyovifanya.