Skip to content
Zaburi 145:10-12

Zaburi 145:10-12

10
Ee Bwana, vyote ulivyovifanya vitakusifu, watakatifu wako watakutukuza.
11
Watasimulia utukufu wa ufalme wako na kusema juu ya ukuu wako,
12
ili watu wote wajue matendo yako makuu na utukufu wa fahari ya ufalme wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options