Skip to content
Zaburi 144:14-15

Zaburi 144:14-15

14
maksai wetu watakokota mizigo mizito. Hakutakuwa na kubomoka kuta, hakuna kuchukuliwa mateka, wala kilio cha taabu katika barabara zetu.
15
Heri watu ambao hili ni kweli; heri wale ambao Bwana ni Mungu wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options