Zaburi 139:7-10
7
Niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?
8
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko.
9
Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko, kama nikikaa pande za mbali za bahari,
10
hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.
Settings