Skip to content
Zaburi 139:7-10

Zaburi 139:7-10

7
Niende wapi nijiepushe na Roho yako? Niende wapi niukimbie uso wako?
8
Kama nikienda juu mbinguni, wewe uko huko; nikifanya vilindi kuwa kitanda changu, wewe uko huko.
9
Kama nikipanda juu ya mbawa za mapambazuko, kama nikikaa pande za mbali za bahari,
10
hata huko mkono wako utaniongoza, mkono wako wa kuume utanishika kwa uthabiti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options