Skip to content
Zaburi 139:1-4

Zaburi 139:1-4

1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, umenichunguza na kunijua.
2
Unajua ninapoketi na ninapoinuka; unatambua mawazo yangu tokea mbali.
3
Unafahamu kutoka kwangu na kulala kwangu; unaelewa njia zangu zote.
4
Kabla neno halijafika katika ulimi wangu, wewe walijua kikamilifu, Ee Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options