Skip to content
Zaburi 138:1-3

Nadhiri ya Kibinafsi ya Shukrani

Zaburi 138:1-3
1
Zaburi ya Daudi. Nitakusifu wewe, Ee Bwana, kwa moyo wangu wote, mbele ya “miungu” nitaimba sifa zako.
2
Nitasujudu nikielekea Hekalu lako takatifu, nami nitalisifu jina lako kwa ajili ya upendo wako na uaminifu, kwa kuwa umelikuza jina lako na neno lako juu ya vitu vyote.
3
Nilipoita, ulinijibu; ulinifanya jasiri na mwenye moyo hodari.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options