Skip to content
Zaburi 137:7-9

Zaburi 137:7-9

7
Kumbuka, Ee Bwana, walichokifanya Waedomu, siku ile Yerusalemu ilipoanguka. Walisema, “Bomoa, Bomoa mpaka kwenye misingi yake!”
8
Ee binti Babeli, uliyehukumiwa kuangamizwa, heri yeye atakayekulipiza wewe kwa yale uliyotutenda sisi:
9
yeye ambaye atawakamata watoto wako wachanga na kuwaponda juu ya miamba.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options