Skip to content
Zaburi 137:3-4

Zaburi 137:3-4

3
kwa maana huko hao waliotuteka walitaka tuwaimbie nyimbo, watesi wetu walidai nyimbo za furaha; walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”
4
Tutaimbaje nyimbo za Bwana, tukiwa nchi ya kigeni?
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options