Skip to content
Zaburi 137:1-4

Zaburi 137:1-4

1
Kando ya mito ya Babeli tuliketi, tukaomboleza tulipokumbuka Sayuni.
2
Kwenye miti ya huko tulitundika vinubi vyetu,
3
kwa maana huko hao waliotuteka walitaka tuwaimbie nyimbo, watesi wetu walidai nyimbo za furaha; walisema, “Tuimbieni wimbo mmoja kati ya nyimbo za Sayuni!”
4
Tutaimbaje nyimbo za Bwana, tukiwa nchi ya kigeni?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options