Skip to content
Zaburi 136:10-12

Zaburi 136:10-12

10
Kwake yeye aliyemuua mzaliwa wa kwanza wa Misri, Fadhili zake zadumu milele.
11
Na kuwatoa Israeli katikati yao, Fadhili zake zadumu milele.
12
Kwa mkono wenye nguvu ulionyooshwa, Fadhili zake zadumu milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options