Skip to content
Zaburi 135:10-12

Zaburi 135:10-12

10
Aliyapiga mataifa mengi, na akaua wafalme wenye nguvu:
11
Mfalme Sihoni na Waamori, Ogu mfalme wa Bashani na wafalme wote wa Kanaani:
12
akatoa nchi yao kuwa urithi, urithi kwa watu wake Israeli.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options