Skip to content
Zaburi 128:1-4

Zaburi 128:1-4

1
Wimbo wa kwenda juu. Heri ni wale wote wamchao Bwana, waendao katika njia zake.
2
Utakula matunda ya kazi yako; baraka na mafanikio vitakuwa vyako.
3
Mke wako atakuwa kama mzabibu uzaao ndani ya nyumba yako; wana wako watakuwa kama machipukizi ya mizeituni kuizunguka meza yako.
4
Hivyo ndivyo atakavyobarikiwa mtu amchaye Bwana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options