Skip to content
Zaburi 126:2-3

Zaburi 126:2-3

2
Vinywa vyetu vilijaa kicheko, ndimi zetu zilijaa nyimbo za shangwe. Ndipo iliposemwa miongoni mwa mataifa, “Bwana amewatendea mambo makuu.”
3
Bwana ametutendea mambo makuu, nasi tumejaa furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options