Skip to content
Zaburi 124:1-3

Zaburi 124:1-3

1
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
3
wakati hasira yao ilipowaka dhidi yetu, wangalitumeza tungali hai,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options