Skip to content
Zaburi 124:1-2

Zaburi 124:1-2

1
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Kama Bwana asingalikuwa upande wetu; Israeli na aseme sasa:
2
kama Bwana asingalikuwa upande wetu, wakati watu walipotushambulia,
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options