Skip to content
Zaburi 119:115-117

Zaburi 119:115-117

115
Ondokeni kwangu, ninyi mtendao mabaya, ili niweze kushika amri za Mungu wangu!
116
Nihifadhi sawasawa na ahadi yako, nami nitaishi; usiache matumaini yangu yakavunjwa.
117
Nitegemeze, nami nitaokolewa, nami daima nitayaheshimu maagizo yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options