Skip to content
Zaburi 119:1-3

Zaburi 119:1-3

1
Heri wale walio waadilifu katika njia zao, wanaoenenda katika sheria ya Bwana.
2
Heri wale wanaozishika shuhuda zake, wamtafutao kwa moyo wao wote.
3
Wasiofanya lolote lililo baya, wanaoenenda katika njia zake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options