Skip to content
Zaburi 118:22-26

Zaburi 118:22-26

22
Jiwe walilolikataa waashi, limekuwa jiwe kuu la pembeni.
23
Bwana ametenda hili, nalo ni la kushangaza machoni petu.
24
Hii ndiyo siku Bwana aliyoifanya, tushangilie na kufurahi ndani yake.
25
Ee Bwana, tuokoe, Ee Bwana, utujalie mafanikio.
26
Heri yule ajaye kwa jina la Bwana. Kutoka nyumba ya Bwana tunakubariki.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options