Skip to content
Zaburi 116:5-9

Zaburi 116:5-9

5
Bwana ni mwenye neema na haki, Mungu wetu ni mwingi wa huruma.
6
Bwana huwalinda wanyenyekevu, nilipokuwa katika shida kubwa, aliniokoa.
7
Ee nafsi yangu, tulia tena, kwa kuwa Bwana amekuwa mwema kwako.
8
Kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umeniokoa nafsi yangu na mauti, macho yangu kutokana na machozi, miguu yangu kutokana na kujikwaa,
9
ili niweze kutembea mbele za Bwana, katika nchi ya walio hai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options