Skip to content
Zaburi 116:3-4

Zaburi 116:3-4

3
Kamba za mauti zilinizunguka, maumivu makuu ya kuzimu yalinipata, nikalemewa na taabu na huzuni.
4
Ndipo nikaliitia jina la Bwana: “Ee Bwana, niokoe!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options