Skip to content
Zaburi 115:12-14

Zaburi 115:12-14

12
Bwana anatukumbuka na atatubariki: ataibariki nyumba ya Israeli, ataibariki nyumba ya Aroni,
13
atawabariki wale wanaomcha Bwana, wadogo kwa wakubwa.
14
Bwana na awawezeshe kuongezeka, ninyi na watoto wenu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options