Skip to content
Zaburi 115:12-13

Zaburi 115:12-13

12
Bwana anatukumbuka na atatubariki: ataibariki nyumba ya Israeli, ataibariki nyumba ya Aroni,
13
atawabariki wale wanaomcha Bwana, wadogo kwa wakubwa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options