Skip to content
Zaburi 114:1-5

Zaburi 114:1-5

1
Wakati Israeli walipotoka Misri, nyumba ya Yakobo kutoka kwa watu wa lugha ngeni,
2
Yuda alifanywa makao matakatifu ya Mungu, Israeli akawa milki yake.
3
Bahari ilitazama ikakimbia, Yordani ulirudi nyuma,
4
milima ilirukaruka kama kondoo dume, vilima kama wana-kondoo.
5
Ee bahari, ni nini kilichokufanya ukakimbia, nawe, ee Yordani, ukarudi nyuma,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options