Skip to content
Zaburi 113:1-2

Zaburi 113:1-2

1
Msifuni Bwana. Enyi watumishi wa Bwana msifuni, lisifuni jina la Bwana.
2
Jina la Bwana na lisifiwe, sasa na hata milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options