Skip to content
Zaburi 112:1-3

Zaburi 112:1-3

1
Msifuni Bwana. Heri mtu yule amchaye Bwana, mtu yule apendezwaye sana na amri zake.
2
Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options