Skip to content
Zaburi 112:2-3

Thawabu za Mwenye Haki na Wazao Wake

Zaburi 112:2-3
2
Watoto wake watakuwa wenye uwezo katika nchi, kizazi cha watu waadilifu kitabarikiwa.
3
Nyumbani mwake kuna mali na utajiri, haki yake hudumu milele.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options