Skip to content
Zaburi 108:11-13

Zaburi 108:11-13

11
Ee Mungu, si ni wewe uliyetukataa sisi, na hutoki tena na majeshi yetu?
12
Tuletee msaada dhidi ya adui, kwa maana msaada wa mwanadamu haufai kitu.
13
Kwa msaada wa Mungu tutapata ushindi, naye atawaponda adui zetu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options