Skip to content
Zaburi 107:8-9

Zaburi 107:8-9

8
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu,
9
kwa maana yeye humtosheleza mwenye kiu, na kumshibisha mwenye njaa kwa vitu vyema.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options